Monday, May 4, 2015

NAHODHA wa Azam fc, John Bocco ‘Adebayaor’ amezungumzia mechi ya kesho kutwa jumatano dhidi ya Yanga uwanja wa Taifa, Dar es salaam.

“Yanga ni timu nzuri, lakini kumbuka sisi ni wanajeshi, tunakwenda kupambana nao kwa nguvu zote na kupata pointi tatu. Nafasi ya pili lazima tuchukue, tumefungwa na Simba (2-1), mechi ilikuwa ngumu, lakini nadhani kadi nyekundu (Salum Abubakar) ilituharibia mpango wa mechi, ilikuwa mapema na tumecheza pungufu kwa muda mrefu. Hata hivyo tumecheza vizuri, tunajiandaa na mechi ijayo dhidi ya Yanga na ile ya Mwisho na Mgambo JKT”.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video