Monday, May 4, 2015

BAADA ya kufungwa na Simba magoli 2-1 jana uwanja wa Taifa, kocha mkuu wa Azam fc, Mganda, George ‘Best’ Nsimbe amesema hayo ni matokeo ya mpira na wanajipanga kwa mechi ya kesho kutwa dhidi ya Yanga itayopigwa uwanja wa Taifa.

“Ni matokeo ya mpira, tumepata nafasi nyingi tumetumia moja, wenzetu wamepata nafasi mbili wametumia zote, lakini nafasi ya pili lazima tuichukue. Naye refa alituua kwa kumpa kadi nyekundu mchezaji wetu (Salum Abubakar), tunakwenda kucheza na Yanga, halafu mechi ya mwisho tutacheza na JKT Ruvu, lazima tuvune pointi zote” Amesema Nsimbe.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video