Monday, April 13, 2015

BAADA ya mechi za wikiendi iliyomalizika jana, msimamo wa ligi kuu soka Tanzania bara umebadilika isipokuwa kwa timu nne za juu.
Yanga wanaendelea kujikita zaidi kileleni baada ya jana kuongeza pointi tatu wakishinda mabao 3-1 dhidi ya Mbeya City fc uwanja wa Taifa na kufikisha pointi 46 katika mechi 21 walizoshuka dimbani.
Nafasi ya pili inashikiliwa na Azam fc wenye pointi 38 kwa mechi 29 walizocheza.
Nafasi ya tatu wapo wekundu wa Msimbazi, Simba wenye pointi 35 baada ya kucheza mechi 21.
kagera Sugar wanaocheza leo dhidi ya Ruvu Shooting wanashika nafasi ya nne kwa pointi 28 walizovuna katika mechi 21 walizocheza.
Mkiani kuna mabadiliko, Prisons waliotoka suluhu na Ndanda fc sasa wanashika nafasi ya pili kutoka mkiani wakiwa na pointi 21 sawa na wanaoburuza mkia Polisi Morogoro lakini Wajelajela wana wastani mzuri wa magoli ya kufunga na kufungwa.
Katikati kuna mabadiliko, baada ya Stand United kushinda jana sasa wanashika nafasi ya sita (6) wakijikusanyia pointi 27 katika michezo 21 waliyocheza mpaka sasa.
Baada ya Mbeya City kufungwa jana sasa wameporomoka mpaka nafasi ya 9 wakiwa na pointi 25 baada ya michezo 22.
MSIMAMO MZIMA BAADA YA VIPUTE VYA WIKIENDI HUU HAPA;

Standings

RnkTeamMPWDLGFGA+/-Pts
1Young Africans21144339122746
2Azam20108227141338
3Simba SC2198427151235
4Kagera Sugar217771920-128
5Mgambo JKT208391719-227
6Stand United217681823-527
7Coastal Union236981623-727
8Ruvu Shooting216871418-426
9Mbeya City2251071721-425
10Ndanda226791824-625
11Mtibwa Sugar215972022-224
12JKT Ruvu2266101622-624
13Tanzania Prisons2131261420-621
14Polisi Morogoro224991322-921

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video