Saturday, August 15, 2015

Kocha mkuu wa Simba SC, Muingereza, Dylan Kerr leo anapata fursa ya kuwapima wachezaji wake katika mechi ya pili ya kirafiki ya kimataifa ambapo anachuana na URA kutoka Uganda.
Mchezo huo unaanza majira ya saa 10:00 jioni uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam.
Kocha wa URA ambaye aliwahi kuinoa Simba miaka ya nyuma, Moses Basena ameahidi kuwapa ushindani mkubwa wapinzani wake katika mechi hiyo,  huku Kerr akitarajia kuutumia kama sehemu ya kuona mabadiliko ya kikosi chake baada ya kushinda 1-0 dhidi ya SC Villa kwenye mchezo maalum uliopigwa siku ya Simba, 'Simba Day' Agosti 8 mwaka huu uwanja huo huo.
Tiketi za mchezo huo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki, wapenzi na wanachama wengi wa Simba zinaanza kuuzwa asubuhi hii majira ya saa 5 Uwanja wa Taifa. 
Bei za tiketi ni TSH 20,000 VIP A, TSH 10,000 VIP B na Mzunguko uliobaki ni THS 5,000.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video