Tuesday, May 5, 2015


 Simba imeendelea na mazoezi leo kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam kujiwinda na mechi zilizobaki za Ligi Kuu Bara.


Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola amesema wanaendelea kupambana na wanachotaka ni kushinda mechi zilizobaki.
“Kwetu msimamo ni uleule, kupambana na kushinda mechi zilizobaki. Hayo mengine yatafuatia tutaona.

“Katika soka hautakiwi kukata tamaa, unashindwa mwisho kabisa na si sasa,” alisema Matola akionyesha kujiamini.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video