Monday, May 4, 2015


NAHODHA msaidizi wa Simba, Jonas Gerard Mkude amesema haya kuhusu klabu yake ya Simba kuhusu kutoshiriki michuano ya kimataifa kwa miaka miaka mitatu:
 “Simba ni timu yenye vijana wengi wenye uchu wa mafanikio, timu kubwa kama Simba kutocheza michuano ya kimataifa kwa miaka mitatu ni aibu, tumepambana sana, lakini mpira wakati mwingine unakwenda na bahati. Tunashukuru tumepata matokeo mazuri dhidi ya Azam fc, hii ni timu bora kila mtu anajua, tumecheza vizuri na kuwadhibiti. Tunajipanga kuelekea mechi ya mwisho dhidi ya JKT Ruvu”.

Mkude alicheza kwa kiwango cha juu Simba ikishinda 2-1 dhidi ya Azam fc jana na ameahidi kufanya vizuri mechi ya mwisho dhidi ya JKT Ruvu mei 9 mwaka huu.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video