Wednesday, April 29, 2015


HII stori inatoka mechi ya ligi daraja la kwanza nchini Brazil 'Acreano Championship' ambapo Placido de Castro walifungwa magoli 5-2 na Rio Branco.
Baada ya kufungwa goli la tano kipindi cha pili, wachezaji wawili  Uilian na Fábio Júnior wakaanza kunyosheana vidole na hatimaye kuanza kuzichapa ngumi kavukavu mithiri ya mabondi waliopo ulingoni.
Wachezaji wenzao wakawaamuria, lakini mwamuzi hakuwa na huruma, wachezaji hao wawili wa  Placido de Castro  walitolewa kwa kadi nyekundu.
Inawezekana wachezaji hao wamepigana kutokana na mzuka unaolizunguka pambano la  Mayweather v Pacquiao  litakalopigwa La vegas Marekani mei 2 mwaka huu.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video