Monday, March 2, 2015


KOCHA mwenye maneno mengi, kiburi na jeuri duniani , Jose Mourinho alionesha 'staili' nyingine ya kushangilia, cheki alivyolala uwanjani na kunyoosha mguu juu baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la ligi ikiifunga Tottenham 2-0 katika fainali iliyopigwa uwanja wa Wembley jana usikuMourinho joined in as Chelsea celebrated beating Tottenham to lift the Capital One Cup trophy at Wembley
Hapa akawaambia wachezaji ' Wanangu hapa oya oya tu! twende kazi 
Mourinho celebrates the Capital One Cup final win with his team as Chelsea beat Tottenham 2-0 at Wembley
Mourinho akishangilia ubingwa wa kombe la ligi jana 

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video