Monday, March 2, 2015


Nyota Harry Kane akiwashukuru mashabiki wa Tottenham wakati wachezaji wa Chelsea wanashangilia ushindi nyuma yake baada ya kushinda 2-0 katika mechi ya fainali ya kombe la ligi
Roberto Soldado alikuwa na nafasi ndogo ya kuisaidia timu na hapa amezungukwa na wachezaji wa Chelsea waliokuwa na furaha 
Tottenham's Christian Eriksen stands with his hands on his hips after the final whistle as Tottenham's defeat starts to sink in
Mchezaji wa Tottenham, Christian Eriksen  akiwa amejishika mikono kiunoni baada ya kipyenga cha mwisho kupulizwa na Tottenham ipo nyuma kwa mabao 2-0
As Chelsea celebrate in the background, Mousa Dembele is left to wonder what might have been as Tottenham finish as runners-up
Nyuma yake Chelsea wanashangilia ushindi, Mousa Dembele akibaki ameduwaa tu baaada ya Spurs kula kipigo 
Danny Rose sits disconsolate on the Wembley turf as their London rivals get ready to start the party at the national stadium
Danny Rose akiwa amekaa kwa huzuni uwanjani Wembley 

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video