Monday, September 8, 2014

Bondia Juma Fundi na Issa Omari wakitunisha misuli baada ya makubariano yakuzipiga kwa mara ya pili siku ya septemba 27 katika ukumbi wa  friends corner hotel manzese Dar es salaam Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com


Bondia Juma Fundi na Issa Omari wakitunishiana misuli baada ya makubariano yakuzipiga kwa ajili ya kuzipiga siku ya septemba 27 katika ukumbi wa friends corner hotel manzese Dar es salaam Picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com

 Na Mwandishi Wetu

MABONDIA Sadiki Momba na Adamu ngange nusura wazitwange kavu kavu walivyokutanishwa kwa mara ya kwanza kutangaza mpambano wao mbele ya waandishi wa habari Dar es salaam jana 

Mabondia hawo watakaozichapa   septemba 27 katika ukumbi wa friends corner hotel manzese Dar es salaam

wakisindikiza mpambano wa bondia Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani mabondia hawo walitambiana kila mmoja akidai yeye ni zaidi ya mwenzie katika masumbwi na hata sasa wanaweza kupigana kwa kuwa kila mmoja anadai yupo fiti wakati wowote hata hivyo wanasubili siku ya mpambano huo

 Mbali na mpambano huo kutakuwa na mpambano mwingine kati ya Juma Fundi na  Issa Omari nawo walitambiana na kuaidi kucheza mchezo mzuri

Mbali na michezo hiyo pia siku hiyo kutakuwa na mpambano wa masumbwi ya wanawake ambapo mabondia Lulu Kayage atavaana na Fatuma Yazidu mpambano wa raundi nne

Siku hiyo pia kutakuwa zikiuzwa DVD mpya za masumbwi ambazo zinaonesha mafunzo mbalimbali ya mchezo wa ngumi yanavyoanza hatua kwa hatua

Mpaka kujua kitu kamili katika mchezo huo pia kunakuwa na mapambano ya mabondia mabigwa wa dunia wa mchezo huo kama Floyd Maywether, Manny Paquaio,mike Tyson, Mohamed Alli pamoja na mabambano ya ngumi ya ndani

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video