Friday, July 19, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Kocha wa washika bunduki wa London Kaskazini, nchini England, klabu ya Arsenal, Mfaransa mzee Arsene Wenger amepewa ruksa na uongozi wa klabu yake kuhusu kuamua usajili wa mashambuliaji hatari wa Liverpool, raia wa Uruguay, Luis Suarez kwa ofa ya pauni milioni 40.
Nyota huyo ni chaguo namba moja la Arsenal katika dirisha hili la majira ya kiangazi la usajili barani Ulaya, na tayari walishatuma ofa ya pauni milioni 30, lakini Liverpool walitupilia mbali.
Mtandao wa FULLSHANGWE kupitia mtandao rafiki wa Sporstmail ulishaweka wazi wiki hii kuwa The Gunners waliongeza mzigo hadi kufikia pauni milioni 35, lakini bado waligonga mwamba kwani majogoo hao wa jiji walishaweka wazi kuwa wao wanahitaji dau la pauni milioni 40
Ofa ya pauni miloni 40 ni rahisi kwa Suarez kuondoka Anfield, na kwa vile Asernal wamemruhusu Wenger kutoa dau hilo, basi ana dakili zote za kumnasa.
 Wakala wa Suarez bwana Pere Guardiola, aliweka wazi kuwa mtu mwenye ofa hiyo akaye naye wazungumze , wakati huo huo Liverpool walikubali kumuachia nyota  huyo endapo timu yoyote itatoa dau hilo.
Mbali na Suarez, Wenger pia alikuwa na nia ya kuwasajili,  Gonzalo Higuain na  Wayne Rooney, lakini ngoma imekuwa nzito sana.
Big money: Arsene Wenger has been given the green light to spend £40m on Luis SuarezPesa kubwa: Arsene Wenger amepewa ruksa ya kutumia pauni milioni 40 kumsajili Luis Suarez
Clause: Suarez's agent says that if Arsenal bid, Liverpool will be forced to listenDili la nguvu: Wakala wa Suarez alisema kama Arsenal watafikisha dau linalotakiwa, basi Liverpool watashawishika kusikiliza ofa
Back to work: Brendan Rodgers and Liverpool are back in pre-season trainingKarudi kibaruani: Brendan Rodgers na kikosi cha Liverpool wamerudi mazoezini kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu soka nchini England.
Kocha wa Liverpool,  Brendan Rodgers anaamni Suarez atajiunga na kikosi chake na ataendelea kucheza katika dimba la Anfield
Interested: Suarez has said he is flattered by interest from Liverpool's Premier League rivals ArsenalSuarez yupo katika rada za Asernal na yeye alishatangaza kutaka kuihama klabu yake ya sasa
Having a whale of a time: Arsene Wenger pictured on the club's pre-season tour Arsene Wenger alipigwa picha hii wakati akiwa na klabu yake katika ziara ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu
In doubt: The move for Higuain may have fallen flat as Wenger turns his attentions elsewhereWasiwasi: Dili la Higuain litakuwa limeshakufa baada ya Wenger kuelekeza nguvu zote kwa SuarezWakati huo huo beki wa Arsenal, Bacary Sagna amesisistiza kuwa hataondoka klabuni hapo na anataka kuonesha kuwa yeye bado ni muhimu katima mkataba mpya atakaopewa
Sagna mwenye umri wa miaka 30 amaebakisha miezi 12 katika mkataba wake na amepata ofa kutoka klabu za Paris Saint Germain, Anzhi na baadhi ya klabu za mashariki ya kati.
“Nafurahia kucheza katika klabu ya Asernal. Naipenda klabu yangu, natoa mchango wa asilimia 100 kwa klabu yangu na mara zote naifanyia vizuri. Bado nipo hapa”. Alisema Sagna.
Here to stay: Bacary Sagna says he wants to remain at ArsenalBado yupo yupo sana: Bacary Sagna amesema anataka kuichezea klabu yake ya Arsenal

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video