Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Mabingwa
 wa soka nchini Italia, Juventus, vibibi vya Turini wamemumweka katika 
darubini yao mshambuliaji nyota wa klabu ya Manchester City ya England 
raia wa Argentina Carlos Tevez endapo watashindwa kumpata nyota wa 
Fiorentina ambaye pia anawaniwa na klabu za Arsena na Chelsea, Stevan 
Jovetic.
Tevez
 amebakiza mwaka mmoja tu katika mkataba wake, sawa na Javi Garcia, Edin
 Dzeko na Joleon Lescott ambao kwa sasa wanasikilizia ofa za kusajiliwa.
 Nyoya
 Jovetic mwenye umri wa miaka 23 ana thamani ya kitita cha pauni milioni
 30 na Juventus wana wasiwasi mkubwa wa kupigwa bao na matajiri wa 
London wenye jeuri kubwa ya pesa, klabu ya Chelsea.
 
Si mchezo kabisa: Carlos Tevez anafukuziwa na vibibi vya Turin, Juventus ya Italia 
 
Tevez
 (kulia) akiwa na Joe Hart (kushoto), Vincent Kompany (katikati) na 
Matija Nastasic (katikati kulia) wakiwa katika hafla maalumu ya klabu 
yao 
 
Anawazisha watu balaa: Stevan Jovetic ataamua wapi aende, Arsenal, Chelsea au Juventus 

0 comments:
Post a Comment