Sunday, January 6, 2013

Onesmo Ngowi Rais wa TPBC
………………………………………..
Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Nchini TPBC) imetangaza kuanza kufanya uchaguzi katika ngazi ya mikoa kuanzia tarehe 20 February 2013.
 Katika chaguzi hizo, mikoa itafanya chaguzi zake kuwachagua viongozi wake katika nafasi za Kamishna wa mkoa, Katibu, Katibu Msaidizi, Mweka Hazina, Mweka Hazina Msaidizi pamoja na wajumbe 10 wa Kamati ya Utendaji ya Mkoa.
 Mikoa ambayo itafanya chaguzi ni pamoja na Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, Dar-Es-Salaam, Morogoro, Tanga, Pwani, Mwanza, Mara na Bukoba.
 Baada ya chaguzi za mikoa TPBC itafanya uchaguzi mkuu katika ngazi ya Taifa mwishoni mwa mwezi wa tatu (Machi) 2013. Wadau wa ngumi wanahimizwa kujitokeza kwa wingi ili waweze kushiriki katika chaguzi hizi.
Rais wa TPBC Onesmo Ngowi ameshatangaza kuwa hatagombea tena uongozi katika Kamisheni na kuwataka Watanzania wanaopenda mchezo wa ngumi kujitokeza ili waweze kuiongoza Kamisheni.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video