Monday, March 6, 2017



LIGI Kuu Soka Tanzania Bara (VPL) imeendelea leo kwa Mchezo mmoja kuchezwa katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona Mkoani Mtwara ambapo Wenyeji Ndanda FC wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Maafande wa Ruvu Shooting.
Bao pekee la Ushindi kwa Wana 'Mtwara Kuchele' Ndanda FC limefungwa na Mshambuliaji wao hatari, Omary Mponda.
Hilo ni goli la 6 kwake Msimu huu wa VPL.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video