Monday, March 6, 2017

SHIRIKISHO la Soka Tanzania TFF kupitia kamati yake ya Mashindano limetangaza Ratiba ya Mechi za Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (Azam Sports Federation Cup).
Vinara wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara (VPL) Simba wataanzia ugenini Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mjini Arusha wakicheza na Wenyeji Madini FC.
Yanga au Kiluvya United zinazokutana kesho Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam kwenye mechi ya Mwisho ya Raundi ya 16, yoyote itakayeshinda atakuwa mwenyeji wa Tanzania Prisons na haijapangiwa tarehe.

Ratiba kamili iko kama ifuatavyo:

Machi 18, 2017

Kagera Sugar vs Mbao FC-Uwanja wa Kaitaba, Kagera 

Madini FC vs Simba SC-Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha 

Azam FC watakuwa wenyeji wa Ndanda FC Dimba la Azam Complex, Dar es Salaam,  lakini mechi hiyo haijapangiwa tarehe kwasababu Azam FC watakuwa na majukumu ya kuiwakilisha Tanzania katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. 


0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video