Ripoti za awali zinaeleza kwamba Mlindamlango huyo Aliumwa ghafla wakiwa njiani kuelekea Singida kwenye mechi
ya Azam Federation Cup na waliporudi Kagera hali yake ikazidi kuwa
mbaya na hivyo kukimbizwa Bugando.
Hii ni kwa mujibu wa Kocha wake Mecky aliyenipigia asubuhi hii na leo Jioni kocha huyo anategemea kuiongozo Kagera Sugar dhidi ya Waajiri wake wa zamani, Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba Mkoani Kagera. Enzi za uhai wake, Buruhani aliwahi kuidakia kwa Mafanikio Mbeya City na Majimaji FC.
0 comments:
Post a Comment