Thursday, December 22, 2016

Tanzania imepanda kwa nafasi nne kutoka nafasi ya 160 mwezi uliopita hadi nafasi ya 156 mwezi huu kwa mujibu wa viwango vya ubora vya soka vinavyotokewa na shirikisho la soka duniani FIFA kila mwezi.
Kenya haina mabadiliko inaendelea kusalia katika nafasi ya 89 wakati Uganda ikipanda kwa nafasi moja kutoka nafasi ya 73 hadi nafasi ya 72.

Argentina wanaendelea kutawala ulimwengu wa soka wakifuatiwa na Brazil iliyopo nafasi ya pili, nafasi ya tatu inashikiliwa na Ujerumani

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video