Thursday, December 22, 2016

Klabu ya Crystal Palace imeachana na Kocha mkufunzi wake Alan Pardew kufuatia mwenendo mbovu walio nao msimu huu wa ligi kuu ya England.
 Crystal Palace ipo katika nafasi ya 17 ikiwa na alama 15 ambapo wameshinda mechi nne, wametoka sare mechi tatu na kupoteza mechi 17.


Alan Pardew aliteuliwa kukinoa kikosi hicho mwezi Januari mwaka jana kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu hata hivyo ushindi wa mechi moja kati ya 11 ni miongoni mwa sababu zilizofupisha ajira yake.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video