Thursday, December 22, 2016


Waandaaji wa Olympic ya Tokoyo mwaka 2020 wamewasilisha mapitio ya bajeti ya michezo hiyo ambayo imeonekana kuwa na mapungufu makubwa ya gharama za matumizi.

Kutoka Dola za kimarekani Billion 17 bajeti mpya iliyowasilishwa ni kati ya Dola Billion 13 hadi 15 ambazo ni zaidi ya Shilingi Trilioni 36 za kitanzania.

Waandaaji mji wa Tokyo wamekutana na Serikali ya mji huo, uongozi wa kitaifa wamekutana kupitia tena punguzo la gharama ambalo wameahidi kufanya kila linawezekana ili kuipunguza zaidi na kufanikisha michezo hiyo kufana ikilinganishwa na Olimpiki ya Rio mwaka 2016.


Mgawanyo wa matumizi Dola Billion 5 nukta tano zitatumika kujenga viwanja vya muda na miundombinu mingine, Dola Billion 3 nukta nane kwaajili ya gharama za usafiri na ulinzi.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video