Tuesday, August 11, 2015

Mabingwa wa soka Tanzania bara, Dar Young Africans wanatarajia kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Mbeya City FC katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Mechi hiyo ya kukata na shoka itapigwa Jumapili ya Agosti 16 mwaka huu.

kikosi cha Yanga chini ya kocha Hans van der Pluijm kimejichimbia mjini Tukuyu jijini humo, wakati wagonga nyundo wanaonolewa na Juma Mwambusi wakiendelea kujifua dimba la Sokoine.

Mwishoni mwa Juma lililopita, Yanga iliichapa 4-1 Komondo FC katika mechi ya kirafiki iliyopigwa uwanja wa CCM Vwawa Mbozi.


Magoli ya Yanga yalitiwa nyavuni na Geofrey Mwashiuya (Mawili), Amissi Tambwe na Simon Msuva.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video