Sunday, July 19, 2015

David De Gea anaweza kubakia Manchester United msimu huu baada ya Real Madrid kumkabidhi rasmi golikipa wake, Keylor Navas jezi namba moja ambayo ilikuwa ikivaliwa na Iker Casillas.
Awali Navas raia wa Costa Rica alikuwa akivaa jezi namba 13 ambayo sasa amekabidhiwa kipa mwenzake ambaye amesaini kwa Euro milioni 6 kutokea Espanyol, Kiko Casilla.
Kumkabidhi Keylor Navas jezi nambo moja inamaanisha kwamba Manchester United wameweza kuzuia mpango wa Real Madrid kumsajili De Gea.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video