Tuesday, May 5, 2015

MABINGWA wa kandanda Tanzania bara, Dar Young Africans baada ya safari ndefu ya msimu wa 2014/2015 wenye mafanikio kwao, kesho wanakabidhiwa rasmi kombe la ligi kuu.
Yanga watakuwa wageni wa Azam fc katika mechi ya ligi kuu itayopigwa kesho uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam dhidi ya waliokuwa mabingwa msimu uliopita Azam fc.
Kaimu mgurugenzi wa bodi ya ligi kuu Tanzania bara (TPLB), Fatuma Abdallah amethiubitisha Yanga kukabidhiwa kombe kesho katika uwanja wao wa nyumbani.
“Kesho tunawakabidhi Yanga kombe katika uwanja wao wa nyumbani, tumeshakamilisha taratibu zote kushirikiana na wadhamini Vodacom, na wao kuna vitu watatoa kesho, lakini zawadi nyingine zitafanyiwa utaratibu mwingine”. Amesema Fatuma.
Kwa upande mwingine, Fatuma amesema bodi ya ligi wameridhishwa na ushindani uliopo kwenye ligi kuu mwaka huu akitumia kigezo cha timu nyingi kufanana pointi mpaka dakika hizi za majeruhi.
“Mpaka sasa ni Polisi Morogoro ndio wanaoonekana wanashuka daraja, timu nyingine hazijulikani mpaka sasa. Nyingi zimefungana pointi na zinasubiri mechi za mwisho mei 9 kuamua nani anabaki nani anashuka, hakika ligi hii imekuwa na ushindani mkubwa”. Amefafanua Fatuma.

Kuthibitisha kauli ya Fatuma, angalia msimamo wa ligi kuu chini mpaka sasa:

Standings

RnkTeamMPWDLGFGA+/-Pts
1Young Africans24174351153655
2Azam24129334171745
3Simba SC25128536181844
4Mtibwa Sugar2571082424031
5Mbeya City2571082122-131
6Kagera Sugar2587102226-431
7JKT Ruvu2587101923-431
8Coastal Union2571081924-531
9Ruvu Shooting2578101628-1229
10Tanzania Prisons2551371822-428
11Ndanda2577112029-928
12Mgambo JKT2584131828-1028
13Stand United2577112234-1228
14Polisi Morogoro25510101626-1025

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video