Tuesday, May 12, 2015




Nyota wa Chelsea Eden Hazard amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wa chama cha waandishi wa habari za michezon nchini Uingereza huku mshambuaji hodari kinda wa Tottenham Harry Kane akishikilia nafasi ya pili na John Terry akishika nafasi ya tatu.
We're pleased to announce that 's Eden Hazard is this year's FWA Footballer of the Year! Congratulations
554 retweets217 favorites

Hazard, ambaye alichukua pia tuzo ya mchezaji bora wa mwaka ligi kuu  Uingereza (PFA Player of the Year award) mwezi uliopita, amepata karibuni asilimia 53 ya kura zote za vyombo vya habari nchini, huku akiwa ni chachu kubwa sana kwa timu yake kutwaa ubingwa wa EPL msimu huu tangu walipochukua mara ya mwisho mwaka 2010.
Akiwa pamoja na John Terry na Branislav Ivanovic, Mbelgiji huyo ni miongoni mwa wachezaji pekee wa Chelsea ya Mourinho ambao walianza kila mchezo msimu huu, akifunga mabao 14 na kutoa pasi za magoli 14.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video