Wednesday, April 29, 2015


MWENYEKITI wa kamati ya usajili wa Simba, Zacharia Hans Poppe ameandika kwenye ukurasa wa Friends of Simba Sport Club kwenye mtandao wa facebook akisema: 

"Kama mwanamichezo uliyekamilika,huna budi kukubali,ila wadau wa simba hapana kukata tamaa, tunajua tulipojikwaa,  tunajipanga upya,  tuna timu bora sana, tutakachofanya ni kusubiri program ya mwalimu,atushauri nini cha kufanya msimu ujao,kama kusajili atatuelekeza yeye jinsi ya usajili,maana yeye ndo anajua mapungufu yako wapi?

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video