Monday, April 13, 2015

STRAIKA mkali wa magoli ya vichwa wa Mbeya City fc  ambaye msimu huu hana nafasi katika kikosi cha kwanza , Mwegane Yeya alisema haya baada ya timu yake kufungwa magoli 3-1 jana dhidi ya Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam;

 “Kwakweli ligi ya safari hii imekuwa ngumu sana na isitoshe tulikuwa ugenini na Yanga walikuwa nyumbani, tukubali kuwa tulizidiwa. Mpira unapofanya makosa sehemu Fulani mwenzako ndio anatumia”

“Wenzetu walipata nafasi na kuweza kuzitumia, sisi tulipata hatukutumia, kwahiyo tunakubali matokeo, lakini tunaomba mashabiki  tufike mahali tujipange kwa mechi zingine zinazokuja ili tuweze kushinda”

“Tuna upungufu wa muda, nadhani mwalimu atatumia vizuri muda ili kujiandaa kwa mechi ijayo ya Simba, wala sio tatizo na tunaamini tutashinda mechi hiyo”.



0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video