Kocha mkuu wa Simba, Goran Kopunovic (wa kwanza kulia) akioneshwa msosi na moja ya wadau wa Simba, wakati Peter Manyika Jr akiwa tayari ameshapakua mpango mzima
Wachezaji wa Simba wakipakua msosi
Baadaye usiku walienda sehemu waliyoandaliwa kulala
Soga huwa hazikosi maeneo kama haya
Vijana wakatua dimbani







0 comments:
Post a Comment