CRYSTAL Palace wameonesha umwamba baada ya jana usiku wakiwa nyumbani kufanikiwa kuitandika mabao 2-1 Manchester City katika mechi pekee ya ligi kuu iliyopigwa uwanja wa Selhurst Park.

Bao la kwanza la Palace lilifungwa dakika ya 34' na Grenn Murrry na la pili kikafungwa dakika ya 48' na Jason Puncheon.
Bao la kufutia machozi la Man City lilifungwa dakika ya 78' na Yaya Toure.

Jumapili ya wiki hii, City watachuana na Manchester United Old Trafford.
BAADA YA MECHI HIYO



0 comments:
Post a Comment