Monday, April 20, 2015

Nyoso (aliyeruka juu) aliwadhabiti vizuri washambuliaji wa Simba

MOJA ya kikwazo cha Simba kufungwa 2-0 dhidi ya Mbeya City katika uwanja wa Sokoine mwishoni mwa juma lililopita ni mlinzi wake wa zamani ambaye sasa anakipiga kwa Wagonga nyundo wa Mbeya, Juma Said Nyoso.

Nyoso amesema hana chuki na Simba bali anafanya kazi yake ipasavyo kwasababu inampatia ‘ugali’


“Sijali ni timu gani nacheza nayo, napenda kuwa katika kiwango changu, nimefurahia kuisaidia timu yangu kupata ushindi, lengo ni kushika nafasi za juu, tunaweza kufanya hivyo”, Amesema Nyoso na kusisitiza: “Simba tuliwadhibiti sehemu zote, nilikusudia kutowapa nafasi, hata angekuwepo Okwi (Emmanuel) asingefua dafu, tulijipanga vizuri”.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video