Licha ya ushindi huo, Man United walitawala mchezo na mpaka dakika 90' zinamalizika walikuwa wanaongoza umiliki wa mpira wa 71% kwa 29% za Chelsea.

Moja ya timu zenye uwezo wa kujilinda na kulazimisha matokeo barani ulaya,Chelsea ya Jose Mourinho ni kiboko.
Timu zote hazikuwa na makeke ya kutosha na kila moja ilipiga mashuti mawili tu yaliyolenga lango kwa dakika zote 90'.

Mashuti ambayo hayakulenga lango, Man United wamepiga 9 dhidi ya 3 ya Chelsea.
United walipata kona 7 dhidi ya 3 za Chelsea, lakini haikuwasaidia kukwepa kipigo kutoka kwa vinara wa ligi.
Ushindi huo unaifanya Chelsea iwe mbele kwa pointi 10 dhidi ya Arsenal wanaoshika nafasi ya pili wakiwa na pointi 66.
Matokeo ya mechi zote za leo....
April 18
FT
FT
FT
FT
FT
MSIMAMO SASA UNASOMEKA



0 comments:
Post a Comment