Friday, April 17, 2015


Chama kinachopinga ubaguzi wa rangi  England ‘Kick It Out’ kimeeleza kuwa kati ya jumbe elfu arobaini za matusi zinazochapishwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wachezaji wa ligi kuu England zinahusu ubaguzi wa rangi.
Mshambuliaji wa Liverpool, Mario Balotelli ndiye mchezaji anayetukanwa  kwa zaidi ya jumbe elfu nane akifuatiwa na Daniel Sturridge na mchezaji wa Arsenal Danny Welbeck na nusu ya jumbe hizo zinaonesha ubaguzi wa Rangi.

Mkurugenzi wa chama hicho, Roisin Wood amekiri kuongeze kwa vitendo vya matusi na kueleza kuwa wanaendelea kijidhatiti kupigania haki za watu wanaobagulia na sasa wanajipanga kupata wawakilishi kutoka katika klabu zote, mitandao ya kijamii na polisi kwa lengo la kudhibiti matusi hayo hususani kwenye mtandao wa Twita.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video