Monday, February 23, 2015

HAKIKA Simba walimnunia golikipa wa Stand United John Mwenda kwa kuchangia kuwanyima ushindi jana Kambarage, Mnyama akivutwa sharubu 1-0 katika mechi ya ligi kuu Tanzania bara.
Akizungumza na mtandao huu, Mwenda amesema umahiri wake langoni unachangiwa na nidhamu ya mazoezi, umakini na kuwasoma washambuliaji pinzani.


“Nazingatia sana mazoezi ya makocha wangu, mpira hauna uchawi, niliweza kuokoa michomo hatari ya Simba kwasababu ninajituma katika mazoezi”. Alisema kipa huyo akiwa kwenye pozi la aina yake la picha.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video