Sunday, September 7, 2014


Bad decision: Rio Ferdinand believes Man United may live to regret the decision to sell Danny Welbeck
Maamuzi mabaya: Rio Ferdinand anaamini Man United   wanaweza kujuta kumuuzaDanny Welbeck

BEKI wa zamani wa Manchester United,Rio Ferdinand  amekiri kushangazwa na maamuzi ya Louis van Gaal kumuuza Danny Welbeck kwa wapinzani wao wa ligi kuu, klabu ya  Arsenal.
Welbeck aliyetokea katika akademi ya Manchester United aliuzwa Emirates siku ya mwisho ya dirisha la usajili majira ya kiangazi kwa dau la paundi milioni 16 baada ya Van Gaal kuona nyota huyo wa kimataifa wa England hatakuwa na namba Old Trafford.
Mkongwe huyo alisema hata kama Welbeck alifanya vizuri, Wayne Rooney na Robin Van Persiea walimfanya asionekane kitu kwa United.
Ferdinand akiongea na gazeti la The Sun la jumapili, alizungumzia kitendo cha Welbeck kujiunga na Arsenal: "Siamini kama United wamemruhusu Welbeck kuondoka, hususani kwenda Arsenal. Kwa upande wangu naona ni kuchanganyikiwa".
"Ni mchezaji hatari kwa mabeiki na kama Arsenal watamtumia kiusahihi, atakuwa mtu hatari kwao"
"Nadhani hakuonekana sana United kwasababu hata kama alifanya vizuri, Robin van Persoe na Wayne Rooney walikuwa mbele yake. Sitashangaa kuona wanajutia kutombakisha Danny".
Mechi ijayo, Ferdinand atakutana na Man United kwa mara ya kwanza tangu alipomaliza miaka 12 kuichezea klabu hiyo na kujiunga na QPR.
Big money move: Welbeck joined rivals Arsenal after being given permission to leave Old Trafford
Usajili wa mkwanja mkubwa: Welbeck alijiunga kwa mahasimu wa United, Arsenal baada ya kupewa ruhusu ya kuondoka Old Trafford

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video