Sunday, September 7, 2014

IMG_20140906_183907(2)TIMU ya Kata ya Makorongoni imefanikiwa kubeba kombe la Hepautwa baada ya kuwafunga wapinzani wao wa jadi timu ya Kata ya Kitanzani kwa magoli 3 -0 katika mtanange uliohudhuriwa na mamia ya mashabiki wapenda soka mkoani Iringa katika mchezo uliochezwa uwanja Samora.IMG_20140906_181252Kata ya Makorongoni chini ya mchezaji bora wa mashindano hayo mshambuliaji mwenye uchu wa magoli na kipaji cha pekee David Mhanga (17) alifanikiwa kuipatia magoli mawili lingine likifungwa na Leonard Geka yote yakifungwa kipindi cha pili cha mchezo huo uliokuwa na upinzani tangu kipindi cha kwanza.IMG_20140906_164906Kipindi cha pili kilianza kwa kila timu kusomana mchezo kama ilivyokuwa kipindi cha kwanza na katika dakika. 66 ya kipindi cha pili mchezaji Leonard Geka aliwapatia goli la kwanza kata ya Makorongoni baadaya ya kazi nzuri ya David Mhanga kupiga kichwa kilichookolewa na golikipa wa Kitanzini ndipo shuti kali la mguu wa kulia  kutoka kwa Geka lilipotinga kimiani na kuandika goli la kwanza kwa timu yake.IMG_20140906_181252
Dakika ya  86 Makorongoni walipata goli la pili na likiwekwa wavuni na David Mhanga aliyekuwa mchezaji bora wa mechi hiyo baada ya kuwapiga chenga mabeki wa Kata ya Kitanzini na  kumchanganya kipa wa Kitanzini Abel.IMG_20140906_172247

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video