Wednesday, September 10, 2014


In pain: Aaron Ramsey limped off injured for Wales in their 2-1 Euro 2016 qualifier win at Andorra
Maumivu: Aaron Ramsey alipata majeruhi ya kifundo cha mguu

AARON Ramsey yuko hatarini kukosa mechi ya Arsenal dhidi ya Manchester City siku ya jumamosi baada ya kupata majeruhi ya kifundo cha mguu katika ushindi wa Wales wa mabao 2-1 dhidi ya Andorra jana usiku.
Kiungo huyo alipata majeruhi hayo baada ya kufanyiwa rafu na mchezaji wa Andorra ambapo alipatiwa matibabu, lakini akatolewa uwanjani.
Meneja wa timu, Chris Coleman alisema ukubwa wa  majeruhi utatangazwa saa 24 kuanzia jana usiku, na hali hiyo imempa maumivu ya kichwa, kocha Arsene Wenger. 
Going down: Ramsey picked up a suspected ankle injury while battling for the ball
Akianguka chini: Ramsey alipata majeruhi ya kifundo cha mguu akichuana na mchezaji wa Andorra.
Hobble: Ramsey is helped to his feet by a physio but he was unable to continue in Andorra
Majanga: Daktari wa Wales akimsaidia Ramsey, lakini alishindwa kuendelea na mechi
Twisted it: Chris Coleman says he hopes Ramsey's injury wasn't enough to keep him out for too long
Alitweet: Chris Coleman alisema anaamini majeruhi ya Ramsey haiwezi kumuweka nje ya uwanja wa muda mrefu 

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video