Wednesday, August 6, 2014

Imechapishwa Agosti 6, 2014, saa 8:04 mchana

MSHAMBULIAJI wa PSG , Zlatan Ibrahimovic anataka kurudi katika klabu yake ya zamani ya Juventus, kwa mujibu wa mahojiano na kocha kocha wake wa zamani wa Malmo, Stefan Hansson kwenye gazeti la Tuttosport.
Nyota huyo amefurahia kucheza soka lake kwa mafanikio makubwa katika nchi za Italia na Hispania na sasa mshambulaiji huyo mwenye maiaka 32 anataka kurudi Seria A kwa miamba ya Italia.
Ibrahimovic alicheza miaka miwili Turin kuanzia mwaka 2004 hadi 2006.
On his way: Ibrahimovic could be set for a return to Italy with former side Juventus
Classy: Ibrahimovic has been a superb player for PSG since signing from AC Milan two years ago
Naitaka Juve: Ukurasa wa mbele wa gazeti laTuttosport ulikuwa na kichwa cha habari kilichoonesha kuwa Ibrahimovic  anataka kurudi Juve majira haya ya kiangazi.

Hata hivyo, Hansson ameweka wazi kuwa nyota huyo wa kimataifa wa Sweden alimwambia katika mazungumzo ya Skype na kumueleza kuwa anahitaji kujiunga na Juvetus.
Alisema: 'Niliongea na Ibra kwasababu bado tuna mahusiano mazuri tangu nilipomfundisha akiwa mtoto huko Malmo.
Up and down: After impressing in his first season at Juventus his second was less than prolific
Ibra enzi zake Juventus

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video