Wednesday, August 20, 2014


Arrival: Marcos Rojo touched down in England on Tuesday ahead of a move to Manchester United
Akiwasili: Marcos Rojo alitua nchini England jana kukamilisha taratibu za usajili katika klabu ya Man United.

MANCHESTER United wamekubali kulipa dau la paundi milioni 16 ili kumsajili beki wa Sporting Lisbon, Marcos Rojo.
Rojo alitua jana jioni mjini Manchester na alisema kujiunga na United "anahisi ni kama ndoto'.
Beki huyo kisiki anatarajia kusaini mkataba wa miaka minne baada ya kufuzu vipimo vya afya na kukubaliana mambo binafsi.
Louis van Gaal ameamua kumsajili beki huyo kufuatia kipigo cha jumamosi cha mabao 2-1 katika mechi ya ufunguzi wa ligi kuu England dhidi ya Swansea City.
Incoming:  Rojo is heading to Manchester United after they agreed a fee with Sporting Lisbon
Karibu kijana: Rojo anajiaunga na United baada ya Sporting Lisbon kukubalia dau la uhamisho.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video