Tuesday, August 5, 2014


Champ: Jamie Moore after winning the Commonwealth Light-Middleweight Championship against Adam Katumwa, at the MEN Arena, Manchester. 10th April, 2004
Bingwa: Jamie Moore baada ya kuibuka bingwa wa pambano la mashindano ya Jumuiya ya Madola, uzito wa kati dhidi ya Adam Katumwa, katika uwanja wa  MEN Arena, Manchester. Aprili 10, 2004.

Imechapishwa Agosti 5, 2014, saa 1:32 asubuhi

HABARI mbaya kwa wapenzi wa masumbwi. Bingwa wa zamani wa ngumi wa Uingereza Jamie Moore amepigwa risasi mara mbili katika mguu wake mjini  Marbella.
Bondia huyo mwenye miaka 35 alikuwa katika mji huo wa Hispania akifanya mazoezi kujiandaa na pambano lake la uzito wa kati dhidi Matthew Macklin likalopigwa Dublin mapema mwezi huu.
Moore ameripotiwa kupigwa risasi mara tano mapema jumapili  asubuhi na kwasasa yupo hospitalini chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Manchester lad: Moore meeting Sir Alex Ferguson and Wayne Rooney in 2007
 Moore alikutana na Sir Alex Ferguson na Wayne Rooney mwaka 2007
Chanzo kililiambia Manchester Evening News: 'Wakati anapigwa risasi alikuwa ametoka kujivinjari na sio kwenye Gym"
Moore alishinda ubingwa wa uzito wa kati mwaka 2003 na baadaye alitetea dhidi Macklin katika pambano kali la Manchester.
Pia aliibuka bingwa wa Ulaya mwaka 2009, lakini alistaafu baadaye kufuatia kuumwa na ikashauriwa ajikite katika matibabu.
Moore alikosa ubingwa wa dunia na maisha yake ya masumbwi yaliishia kwa kupigwa mara mbili na 
 Ryan Rhodes na Sergey Khomitsky.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video