Monday, August 4, 2014


Goalden touch: Radamel Falcao (centre) heads the opening goal of the game for Monaco
Ndosi ya ukweli: Radamel Falcao (katikati) akipiga kichwa murua na kuifungia Monaco bao la kuongoza.

Imechapishwa Agosti 4, 2014, saa 1:09 asubuhi

ASERNAL walifungwa bao 1-0 na Monaco na kupoteza kombe la Emirates, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya msimu mpya wa ligi kuu soka nchini England.
Hata hivyo dhahiri shahiri mwamuzi wa mechi hiyo Martin Atkinson aliwanyima washika bunduki penalti ya wazi.
Bao pekee la ushindi kwa Monaco, lilifungwa na mshambuliaji mwenye thamani ya paundi milioni 53, Radamel Falcao.
Bao hilo la kichwa ni la kwanza kwa Falcao tangu apate majeraha ya goti mwezi januari mwaka huu.
Nodding off: The Arsenal defenders were nowhere near as Monaco's £53m man Falcao headed in
Mabeki wa Asernal hawakuwa makini kumkaba Falcao.
Mob rule: Falcao (second left) is swamped by his team-mates after putting Monaco ahead
Shangwe: Falcao (wa pili kushoto) akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la kuongoza
In the nick of time: Chuba Akpom nips in and takes the ball round Monaco keeper Daniel Subasic
Si kuoneana huku?: Chuba Akpom akichukua  mpira na kumpiga chenga kipa wa Monaco, Daniel Subasic
Dhahiri ndani: Akpom akiangushwa ndani ya eneo la hatari na kipa wa Monaco 
Baffling: Despite the incident being a good yard inside the box, a free-kick was given
Licha ya tukio hili kutokea eneo la hatari, mwamuzi alitoa adhabu ndogo 
Spot on: Martin Atkinson points to the penalty spot after Akpom was brought down
Penalti: Mwamuzi Martin Atkinson akionesha ishara ya penati baada ya Akpom kuangushwa
Change of heart: Atkinson eventually gave a free-kick after advice from his assistant referee
Kabadili moyo wake: Ghafla Atkinson alibadili maamuzi na kutoa adhabu ndogo baada ya kushauriwa na mwamuzi msaidizi
At least you think it's funny! Atkinson and his assistant have a smile as they leave the pitch at the end
Angalau Umefurahi eeeh?: Atkinson na msaidizi wake wakitabasamu wakati wanatoka uwanjani baada ya mechi kumalizika
Livid: Mathieu Flamini (centre) protests after the baffling decision
Wee vipi?: Mathieu Flamini (katikati) akipinga maamuzi ya refa 

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video