
Kwa sasa mwili wa Marehemu na majeruhi, wamepelekwa katika hospitali ya mkoa wa Morogoro.
Pia kumbuka George Tysona aliwahi kuwa mme wa msanii Monalisa, na wakabahatika kuzaa mtoto mmoja anayeitwa Sonia.
R.I.P George Tyson, Get well Mboni Masimba crew, pole sana Monalisa.
Chanzo: East Africa Television (EATV)
0 comments:
Post a Comment