Monday, May 26, 2014

Na Baraka Mpenja, Dar es salaam


Imechapishwa Mei 26, 2014, saa 5:46 usiku

TAARIFA zilizoifikia MPENJA BLOG kutoka mjini Khartoum nchini Sudan usiku huu ni kwamba wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CECAFA Nile Basin Cup, Mbeya City fc chini ya kocha mkuu Juma Mwambusi wamefungwa mabao 2-1 na AFC Leopard ya Kenya katika mchezo uliopigwa kuanzia majira ya saa 2:00 kamili usiku mjini Khartoum.

Bao la Mbeya City fc limefungwa na kiungo mshambuliaji, Deus Kaseke.

Hata hivyo inaelezwa kuwa mchezo huo ulikuwa mzuri kwa timu zote, lakini AFC walikuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza.

Ushindi huo unawafanya AFC Leopard wakae kileleni mwa kundi B baada ya kufikisha pointi 6.


Endelea kufuatilia mtandao huu, utakupatia habari kamali hivi punde.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video