Tuesday, May 27, 2014


New role: Mauricio Pochettino is the new manager of Tottenham Hotspur after signing a five-year deal
Axed: Tim Sherwood left Tottenham at the end of the season, with Daniel Levy not happy with results

Confidence boost: Spurs chairman Daniel Levy has handed the young boss a five-year deal
Mwenyekiti wa Spurs , Daniel Levy ameamua kumpatia mkataba wa miaka mitano kocha kijana
Free-flowing: Pochettino has been praised for his attacking football at Southampton
 Pochettino anasifiwa kwa soka lake la kushambulia katika klabu ya  Southampton

Criticsm: Gary Lineker's tweet

Thanks for everything: Luke Shaw's tweet

 

Imechapishwa Mei 26, 2014, saa 3:38 usiku

KLABU ya Tottenham imethibitisha kumteua Mauricio Pochettino kuwa kocha mkuu.
Kocha huyo raia wa Argentina alijiuzulu kuifundisha klabu ya Suthampton baada ya kumalizika kwa msimu wa ligi kuu soka nchini England , ambapo alisifiwa kuifanya timu hiyo kucheza soka safi la kushambulia.

Pochettino amepewa mkataba wa miaka mitano White Hart Lane na mwenyekiti wa  Spurs,  Daniel Levy, akimrithi kocha aliyetimuliwa,  Tim Sherwood.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video