Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasaidia
kuwatwisha ndoo ya maji wakina mama wa kijiji cha Mwigumbi wilayani
Kishapu Mkoa wa Shinyanga baada ya kuzindua mradi mkubwa wa maji katika
kata ya Mondo..ZIARA YA KINANA YALETA NEEMA YA MAJI KWA WAKAZI WA KISHAPU MKOANI SHINYANGA
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasaidia
kuwatwisha ndoo ya maji wakina mama wa kijiji cha Mwigumbi wilayani
Kishapu Mkoa wa Shinyanga baada ya kuzindua mradi mkubwa wa maji katika
kata ya Mondo..



0 comments:
Post a Comment