Friday, September 13, 2013


Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail
MSHAMBULIAJI wa Chelsea, Raia Cameroon, Samuel Eto’o amefichua siri kuwa alikuwa anamchukia sana kocha wake Jose Mourinho kabla ya kufanya kazi pamoja Inter Milani.
Mwaka 2009/2010, Mourinho aliipandisha sana Inter, huku Eto’o akifanya kazi kubwa sana baada ya kusajiliwana kurithi mikoba ya Ibra Cadabra, Zlatan Ibrahimovic .
Friends reunited: New Chelsea striker Samuel Eto'o is delighted to be working under Jose Mourinho once again 
Marafiki wamekutana: Mshambuliaji mpya wa Chelsea, Samuel Eto’o amefurahi kufanya kazi kwa mara nyigine  na kocha Jose Mourinho
“Kabla ya kukutana Inter, hatukujuana hata kidogo, kwahiyo mahusiano yetu yalikuwa mabaya sana, Eto’o ameliambia gazetila The Sun. “Ilifika wakati nikasema sitakuja kucheza klabu ambayo kocha Jose anafundisha”.
“Lakini Mungu anajua zaidi. Alitaka kunionesha kuwa sikuwa sahihi na leo hii Jose ni rafiki yangu mkubwa. Sasa ni kocha wangu tena”. Alisema Mcameroon huyo mwenye mafanikio makubwa katika maisha yake ya soka.
 Eto’o alijiunga na Chelsea dakika za mwisho za dirisha la usajili, majira ya kiangazi  kwa ada ya pauni milioni 7 akitokea Anzhi Makhachkala baada ya  Mourinho kushindwa kumshawishi Wayne Mark Rooney.
Thumbs up: Jose Mourinho finally got the striker he wanted when Eto'o arrived 
Dole mzazi!:  Hatimaye Jose Mourinho amepata mshambuliaji aliyekuwa anamhitaji
Unlikely partnership? The two also combined to great affect while in Italy with Inter Milan 
Mahusiano ya nguvu? Wawili hawa waliungana pamoja hata huko Italia na kuleta mafanikio makubwa Inter Milan
Treble success: Inter won the Champions League and the domestic double in 2009/2010 when Mourinho and Eto'o were there 
Mafanikio makubwa: Inter walishinda kombe la ligi ya mabingwa barani Ulaya na makombe mawili ya ligi kuu kwa mwaka 2009/2010 wakati Mourinho na  Eto’o  wakiwa pale

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video