Saturday, July 20, 2013


IMG_8094Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na viongozi wa vikosi vya ulinzi,wakati alipowasili Uwanja wa ndege wa Karume Pemba,Rais amewasili Kisiwani kwa ajili ya kuwafutarisha wananchi.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_8116Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema
Shein,wakisalimiana na Wanancni  waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa karume Pemba jana,Rais yupo kisiwani humo ajili ya
kuwafutarisha Wananchi,ikiwa ni kawaida yake kila ifikapo mwezi Mtukufu wa Ramadhan. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_8123 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziAlhaj Dk.Ali Mohamed Shein, na Mkewe Mama Mwanamwema
Shein,wakisalimiana na Wanancni  waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa karume Pemba jana,Rais yupo kisiwani humo ajili ya kuwafutarisha Wananchi,ikiwa ni kawaida yake kila ifikapo mwezi Mtukufu wa Ramadhan. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_8130Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,alijumuika na Waislamu na
wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba,katika Swala ya Magharibi kabla ya kufutari nao pamoja kwa futari aliyowaandalia wananchi hao jana katika viwanja vya Ikulu ya Wete.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]IMG_8132Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,pamoja na Wananchi na waislamu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba waiitikia Dua iliyoombwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kaabi,baada ya Swala ya Magharibi,na kuendelea na Futari aliyowaandalia katika  viwanja vya Ikulu ya Wete.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_8136Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto)alipojumuika na
Viongozi na wananchi wa na Waislamu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika futari aliyowaandalia jana katika viwanja vya Ikulu ya Wete Pemba, [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_8139Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto)alipojumuika na
Viongozi na wananchi wa na Waislamu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika futari aliyowaandalia jana katika viwanja vya Ikulu ya Wete Pemba,[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_8145Akina Mama wa Mkoa wa Kaskazini Pemba walihudhuria katika futari walioyoalikwa na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama mwanamwema Shein,jana katika ukumbi wa Ikulu ya Wete Pemba, [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_8175IMG_8183Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Wananchi baada ya kufutari nao kwa pamoja jana katika futari aliyowaalika katika viwanja vya Ikulu ya Wete Pemba. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video