Tuesday, July 2, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Washika bunduki wa jijini London nchini England wakiwa chini ya kocha wao Mfaransa, Aserne Wenger wameinasa saini ya nyota kinda wa kimataifa kutoka nchini Ufaransa, Yaya Sanogo kwa kumpa mkataba mrefu Emirates.
Kinda huyo kwa sasa yupo na timu ya taifa ya vijana ya Ufaransa chini ya umri wa miaka 20m katika fainali za Kombe la Dunia la vijana chini ya umri wa miaka 20 huku akiwa amefumania nyavu mara mbili kati ya matatu ya timu yake nchini Uturuki.
Akicheza ligi daraja la kwanza nchini Ufaransa, Sanogo  amefunga mabao tisa  katika mechi 13 huku akiandamwa na majeruhi ya mara kwa mara.
Target man: Sanogo has built an excellent reputation for himself in France 
Mtu mwenye dili kwa sasa: Sanogo amejijengee nafasi nzuri sana katika taifa la Ufaransa
More to come? Higuain (left) and Rooney (right) are also thought to be on Wenger's wishlist 
Nyota wengine wa kutua Emirates? Higuain (kushoto) na Rooney (kulia) pia wapo katika rada za Wenger ambaye anataka kupata nyota wakali wa kuimarisha kikosi chake msimu ujao
Gonzalo Higuain na Wayne Rooney wameripotiwa kuwa katika mipango ya Wenger msimu ujao, lakini kocha huyo raia wa Ufaransa amevutiwa na kinda Sanogo.
‘Sanogo ni mchezaji mzuri sana atakayesaini kwetu, ameonesha kiwango kikubwa katika klabu yake ya Auxerre na katika kikosi cha timu ya taifa chini ya umri wa miaka 20″. Alisema Wenger.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video