Sunday, July 21, 2013


Jirani aliyechonga dili kahama mtaa kwa hofu ya washabiki!
Field-Marshal ,Kamanda Ras Makunja(FFU),King of Anunnaki empireUdaku special, umevuja kutoka katika kambi ya FFU ughaibuni kuwa, Mkuu wa Ngoma Africa band aka FFU,kamanda Ras Makunja atarudishiwa mmoja ya ndege wawili aina ya Bundi aliyokuwa anawamiliki ,uamuzi huo ulitolewa na idara ya uangalizi ya Oldenburg,huko ujerumani.
Mwishoni mwa mwezi wa nne mwaka huu,watu wasio julikana walifanikiwa kuvunja banda walilokuwa wakiishi bundi wawili nyumbani (Anunnaki empire)  kwa Ras Makunja na kuondoka na bundi hao wawili,baadaye  ndege hao walipatikana katika idara ya uangalizi wa wanyama,na mmoja wao alirudishwa Amerika ya kusini.
Lakini mwanzoni wa mwezi julai idara ya wanyama imeamua kumurudisha ndege aina ya Bundi mwenye jina la Udi Udi kwa mmiliki wake ambaye ni mwanamuziki kamanda mkuu Ras Makunja.
Lakini inasemekana kuwa familia ya Kamanda imemtilia ngumu baba mwenye nyumba kwa kumwambia Bundi hao wasiwekwe ndani ya nyumba bali nje ! .
Pia jirani ya Ras Makunja aliyebebeshwa lawama za kuwa ndiye aliyechonga dila na kusababisha Bundi wakamanda wachukuliwe ,Jirani kahama mtaa kwa kuofia baadhi ya washabiki uwenda wakamletea tafrani, Tunamtafuta Kamanda Ras Makunja lakini simu kazima
Bundi mwenye jina la Udi Udi kurudishwa kwa Ras Makunja

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video