Friday, June 28, 2013


IMEWEKWA JUNI 28, 2013 SAA 6:41 MCHANA
MWANASOKA bora wa dunia, Lionel Messi ametembelea akademi ya Aspire nchini Senegal ambako kuna mchezaji mmoja chipukizi kutoka Tanzania, Orgenes Molel. 
Na akiwa huko, amesema anaamini kocha mpinzani wake wa zamani, Jose Mourinho atapata mafanikio Chelsea na ameweka wazi, Mreno huyo ni 'bonge la kocha'.
Mourinho amerejea Chelsea baada ya kumaliza kuitumikia Real Madrid mwishoni mwa msimu uliopita. 
Kocha huyo wa zamani wa Porto na Inter Milan alikuwa maarufu Hispania kutokana na kukuza upinzani wa Real na Barcelona katika kipindi alichokuwa akifanya kazi Madrid. 
Man in the middle: Lionel Messi was in Senegal visiting the Aspire Academy in Senegal
Mtu kati: Lionel Messi alikuwas Senegal kutembelea akademi ya Aspire Academy
Warm welcome: Messi was there to support the 'Football Combating Malaria' project in the African country
Mapokezi makubwa: Messi amepata mapokezi makubwa Senegal alipokwenda katika kampeni ya kupiga vita Malaria kwa nchi za Afrika
Warm welcome: Messi was there to support the 'Football Combating Malaria' project in the African country
Success: Mourinho replaces Rafa Benitez at Chelsea for his second spell at the club
Mafanikio: Mourinho amechukua nafasi ya Rafa Benitez Chelsea
New in town: Carlo Ancelotti (centre) was appointed as Mourinho's replacement in Madrid
Carlo Ancelotti (katikati) amerithi mikoba ya Mourinho Madrid

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video