Sunday, April 14, 2013


KLABU ya Chelsea ipo karibu kumsajili kiungo mwenye thamani ya Pauni Milioni 20 wa Bayer Leverkusen, Andre Schurrle katika harakati zao za kuendelea kujijenga kwa ajili ya msimu ujao licha ya kwamba bado haijateua kocha mbadala wa Rafa Benitez hadi sasa.
Vyanzo vilivyo karibu na dili hilo vinasema kiungo huyo mshambuliaji mwenye umri wa miaka 22, aliyeichezea mechi 22 Ujerumani, atajiunga na timu hiyo mwezi ujao. 
Huku mshambuliaji wa Atletico Madrid, Radamel Falcao pia akitarajiwa kutua Stamford Bridge - licha ya taarifa za kuhusishwa kuhamia Manchester United wiki iliyopita kwa dau la Pauni Milioni 45, Chelsea iko tayari kumwaga fedha zaidi kusajili mwishoni mwa msimu.
Target: Andre Schurrle of Bayer Leverkusen
Anawindwa: Andre Schurrle wa Bayer Leverkusen
On his way: Radamel Falcao could be next to go to Stamford Bridge
Yupo njiani: Radamel Falcao anaweza kutua Stamford Bridge

Taratibu za uhamisho bado zinaendelea chini ya Mkurugenzi wa Ufundi, Michael Emenalo, huku klabu pia ikisaka kiungo mkabaji na kipa namba mbili wa kuchukua nafasi ya Ross Turnbull. 
Mzuia michomo wa Ubelgiji, Thibaut Courtois anapewa uzito wa juu na klabu na ataendelea kucheza kwa mkopo kwa msimu mwingine Atletico Madrid.
Huku Benitez akiwa tayari amesema ataondoka katika klabu hiyo mwishoni mwa msimu, licha ya mafanikio aliyoipatia timu katika Kombe la FA na Europa League, kocha wa Everton, David Moyes, kocha wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho na Manuel Pellegrini, anayeinoa Malaga kwa sasa, wote wanapewa nafasi ya kutua darajani.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video