![]() |
KIM PAULSEN, KOCHA WA TAIFA STARS |
Kwa
mujibu wa Kocha Kim, wachezaji hao wanatakiwa kuripoti kambini katika
hoteli ya Tansoma saa 11.30 jioni tayari kwa mazoezi yatakayoanza
Januari 7 mwaka huu.
Wachezaji
walioitwa ni makipa Juma Kaseja kutoka Simba ambaye pia ndiye nahodha
wa Stars, Aishi Manula na Mwadini Ally wote kutoka Azam.
![]() |
NAHODHA WA TAIFA STARS, JUMA KASEJA |
Mabeki ni
Aggrey Morris (Azam), Amir Maftah (Simba), Erasto Nyoni (Azam), Issa
Rashid (Mtibwa Sugar), Kelvin Yondani (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na
Shomari Kapombe (Simba).
![]() |
AGGREY MORRIS |
YONDAN KUTOKA YANGA |
Viungo
ni Salum Abubakar (Azam), Athuman Idd (Yanga), Amri Kiemba (Simba),
Khamis Mcha (Azam), Frank Domayo (Yanga), Mwinyi Kazimoto (Simba) na
Shabani Nditi (Mtibwa Sugar).
Washambuliaji
ni John Bocco (Azam), Mbwana Samata (TP Mazembe, Jamhuri ya Kidemokrasi
ya Congo- DRC), Mrisho Ngasa (Simba), Simon Msuva (Yanga), na Thomas
Ulimwengu wa TP Mazembe, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC).
![]() |
MBWANA ALLY SAMATA AKIWA TP MAZEMBE KONGO |
![]() |
JOHN RAPHAEL BOCCO |
Mbali
ya Kim, benchi la ufundi la Taifa Stars linaundwa na Sylvester Marsh
(Kocha Msaidizi), Juma Pondamali (Kocha wa makipa), Leopold Tasso
(Meneja), Dk. Mwanandi Mwankemwa (Daktari wa timu), Frank Mhonda
(Mtaalamu wa tibamaungo) na Alfred Chimela (Mtunza vifaa).
0 comments:
Post a Comment