Leslie Liunda |
Ofisa
huyo atawasili nchini Ethiopia kesho (Januari 2 mwaka huu) ambapo
anatarajiwa kukamilisha kazi hiyo Januari 6 mwakani na baadaye kupeleka
ripoti yake CAF.
Utekelezaji
wa kazi yake hiyo nchini Ethiopia utahusisha wadau mbalimbali ikiwemo
Shirikisho la Mpira wa Miguu la Ethiopia (EFF), Wizara ya Michezo ya
nchi hiyo, viongozi wa klabu na mameneja wa viwanja husika.
0 comments:
Post a Comment